Jeremiah 22:24

24 a“Hakika kama niishivyo,” asema Bwana, “hata kama wewe, Yekonia
Yekonia au Konia ni jina jingine la Yehoyakini.
mwana wa Yehoyakimu mfalme wa Yuda, ungekuwa pete yangu ya muhuri katika mkono wangu wa kuume, bado ningekungʼoa hapo.
Copyright information for SwhNEN